Tip:
Highlight text to annotate it
X
hey
i just want you to know
i can't get you outta my head
P.Christ
Alikuwa akinipenda
Sasa ona nina moyo kuvimba na machozi
Aya mapendo kuisha
Sasa ona nina kaa peke yangu kwa mapozi
Alikuwa akinipenda
Sasa ona nina moyo kuvimba na machozi
Aya mapendo kuisha
Sasa ona nakaa peke yangu kwa mapozi
One day i was sittin on a bench
Saw this pretty little face come around
My heart beating fast can't resist to talk
Yo long hair thin weist and yo pretty face
Thoughts of loving U makin' U my boo
Everything i do it all comes back to U
My heart is locked away, beating to the ground girl
Its all real my heart keeps calling U
Yo smile The way U walk
U got me crazy Baby girl U amaze me
U're on my mind and yo love is the best thing
I wanna have Hey babe
Alikuwa akinipenda
Sasa ona nina moyo kuvimba na a machozi
Aya mapendo kuisha
Sasa ona nina kaa peke yangu kwa mapozi
Alikuwa akinipenda
Sasa ona nina moyo kuvimba na machozi
Aya mapendo kuisha
Sasa ona nakaa peke yangu kwa mapozi
Mamy ona umevunja moyo wangu
Wakati nimekuona nilikubali wewe wangu
Moyo wangu uli itikisha wewe mpenzi wangu
lakini leo nakaa peke yangu na uzuni
Mamy, hata usingisi mi sipate
Usiku na mchana na chakula hakishuke
Nacho taka tu ni penzi lako nilikupenda nika panda milima na mabonde
Ajili nikupate nilikonda
Mamy mapenzi nikushuka nakupanda lakini
Wewe chaguo langu nakutaka milele
Basi bakuhitaji rudi nami we mwenyewe tu asali wa moyo
Alikuwa akinipenda
Sasa ona nina moyo kuvimba Na machozi
Aya mapendo kuisha
Sasa ona nina kaa peke yangu Kwa mapozi
Alikuwa akinipenda
Sasa ona nina moyo kuvimba na machozi
Aya mapendo kuisha
Sasa ona nakaa peke yangu kwa mapozi
ulikuwa ukinipenda
Sasa mina baki mwenyeweee
Ona una umiza moyo wangu
Kwako mimi nime nata
Tafadhali rudi nami Baby
Nakutamani
milele milele na milele
Alikuwa akinipenda
Sasa ona nina moyo kuvimba Na machozi
Aya mapendo kuisha
Sasa ona nina kaa peke yangu Kwa mapozi
Alikuwa akinipenda
Sasa ona nina moyo kuvimba na machozi
Aya mapendo kuisha
Sasa ona nakaa peke yangu kwa mapozi